Wednesday, April 24, 2013

WAWINDAJI WAWILI

Kuna jamaa wawili,walikwen­da kuwinda, mmoja alikuwa mtaalamu wa kulenga mwingine wa kuchuna, mtaalam wa kuchuna alibaki garini na mwenzake akashuka kuwinda.
Ile anakatiza kichakani mara Simbahuyoooo!o Ikabidi jamaa aanze kukimbia vibaya mno huku akipiga kelele fungua fungua......!?
Mwenzake akafungua mlango wa gari, jammer anakaribia mlangoni huku Simba akiwa nyuma, Simba akamrukia, bahati mbaya jamaa akaanguka chini, Simba akajikuta ndani ya gari, jamaa akaamka haraka akafunga mlango na kumwambia mwenzake..''ANZ­A KUMCHUNA NAKWENDA KULETA MWINGINE''...

No comments:

Post a Comment