Wednesday, April 24, 2013

Ama kweli UALIMU kazi ya wito

MWANAFUNZI mmoja hajui kujumlisha+ wala kutoa-
Mwalim katumia njia zote
kumuelimisha lakin wapi Ikabidi
ajaribu njia hii
Mwl: Kwenu mnafuga nin
Mwnfz: Kuku na mbuzi.
Mwl: Mbuzi mnao wangapi?
Mwnfz: 25
Mwl: Mbuzi 25 toa mbuz 5 watabaki
wangapi?
Mwnfz: Unawajua mbuz we2, au unawackia?
Ukimtoa mmoja tu wote wanatoka.
Mwl: mmh! naacha kazi

No comments:

Post a Comment