Wednesday, April 24, 2013

MAPENZI SIJUI YAKOJE?!!!

Wanaume karibia wote ambao ni Good Looking,wasafi nini,profile picture mashallah,ndevu zimepigwa 'O',ni Maplayer na Hawajali mapenzi...Wale wasio na haiba na mvuto kwa nje,ndio wenye mahaba niue,wako Real na upendo wa dhati na wanacare...Sasa chagua moja,ujivishe Ngata ubebe mzigo wa misumari ukubali kutoka na Player kisa ana mvuto,huku ukijipa mahope kwamba eti Utambadilisha na Kumtuliza ambayo ni ndoto kama kukuta changudoa bikra,au uweke Udiva pembeni kujifanya unapenda mahandsome wenye dimples ili uwaringishie mashosti,''This is my Guy'' ujitome mzimamzima kwa jamaa mwenye sura kama yangu hapa,sura kama umepokea taarifa ya msiba lakini mwenye mahaba tele kwako!
Najua madiva hamuwezi,mnapenda sana Show-Off na ndo maana mnalizwa deile,mnakimbilia sura,bajeti zenu za leso kwa mwaka ni kubwa kuliko bajeti ya Baby Powder!

No comments:

Post a Comment