Wednesday, April 24, 2013

SWALI LA KIZUSHI !!!

Mwanamke m1 alimwomba mpangaji mwenzie wa kiume ndoo ya kuogea baada ya kumaliza kuoga akamrudishia jamaa ndoo yake.

Baada ya muda dada akakumbuka
alisahau chupi yake kwenye ile ndoo akarudi kwa jamaa ili achukue chupi yake.

Jamaa akamwambia aingie ndani
akachukue wakati, anatoka ndani kwa msela na mume wake anatoka job na kumuona mkewe anatoka geto kwa msela huku ameshika chupi mkononi.......

je ingekua ww ungefanyaje?

No comments:

Post a Comment