Wednesday, April 24, 2013

TAZAMA HILI BALAA:

Mwalimu kaingia class akiwa na daftari la nukuu, akafunua na kuanza kuandka ubaoni:
Mchele 34,000/=
Unga 26,000/=
Maharage 15000/= Pango 150,000/=
Karo 250,000/=
Mafuta 20,000/=
Mangi Dukani 30,000/=
SACCOS 55,000/=
Mshahara 244,000/= Alipokaa tu akashtuka "Ahaa nimeandika
madeni badala ya
zoezi, Mungu wangu!" Akaanza kufuta Watoto wakapiga kelele
"MWALIMU HATUJAMALIZAAA"

No comments:

Post a Comment