Wednesday, April 24, 2013

FRIENDS CHANGE TIME AFTER TIME

Usiwe na Mashaka na Hofu unapopoteza rafikia au Marafiki ..Mungu huwa anakupa marafiki fulani kwa kipindi fulani maalum ili wakusaidie wewe kupita kwenye kipindi hicho..Ukivuka hiyo stage anakupa marafiki wengine ambao ni specific kwa stage mpya uliopo..Usiforce rafiki wa Stage 1 abakie kwenye Stage 2 kama he is not meant to stay..Let him go,ha-fit kwenye purpose!..Ndio maana kuna mtu alikuwa besti sana shule lakini sasa hv hayupo tena,kuna mtu kaletwa kwa stage hii...

Divai mpya haiwezi kuwekwa kwenye kiriba kikuu-kuu,lazima kitapasuka...Ukiforce Old friend awepo kwenye new life kuna mambo mawili,aidha You loose ur Purpose ya Mungu kukuweka kwenye hiyo Stage au you loose that friend ili Purpose yako iwe accomplished...Say goodbye to all friends who block ur Purpose to be accomplished and let God give you the right people to help you reach your destiny...

No comments:

Post a Comment