Usiwe
na Mashaka na Hofu unapopoteza rafikia au Marafiki ..Mungu huwa
anakupa marafiki fulani kwa kipindi fulani maalum ili wakusaidie wewe
kupita kwenye kipindi hicho..Ukivuka hiyo stage anakupa marafiki wengine
ambao ni specific kwa stage mpya uliopo..Usiforce rafiki wa Stage 1
abakie kwenye Stage 2 kama he is not meant to stay..Let him go,ha-fit
kwenye purpose!..Ndio maana kuna mtu alikuwa besti sana shule lakini sasa hv hayupo tena,kuna mtu kaletwa kwa stage hii...
Divai mpya haiwezi kuwekwa kwenye kiriba kikuu-kuu,lazima
kitapasuka...Ukiforce Old friend awepo kwenye new life kuna mambo
mawili,aidha You loose ur Purpose ya Mungu kukuweka kwenye hiyo Stage au
you loose that friend ili Purpose yako iwe accomplished...Say goodbye
to all friends who block ur Purpose to be accomplished and let God give
you the right people to help you reach your destiny...
No comments:
Post a Comment