Wednesday, April 24, 2013

UKITAKA KUMJUA MSICHANA AMBAEHAKUTAKI,HAYA NDIO MAJIBU YAKE

1.Baby 2taongea badae,nna kazi nyng
2.Jamani honey ckuweza kupokea cm nilikua kwenye kelele.
3.Sweety cna credit,that's why cjajibu sms yako.
4.2ko discussion,ntakubep badae dear.
5.Cm haikua & chaji jamani (hapo alikuzimia cm).
6.Nipo na kaka yangu,ucpige sim.
7.Naumwa,kesho ha2wezi kuonana.
8.Room mtu wangu anamgeni,ucje leo.
9.Nipo safarin,ntakutafuta badae (kwa saut ya chini).

No comments:

Post a Comment