...daaa kuna demu mmoja nilimdanganyaga naxoma chuo IFM kumbe na yy anasoma pale pale
Kesho yake asubuhi na mapema akaja kunipitia twende chuo akamkuta mama
Demu......shikamoo mama
Mama cox......marahaba binti hujambo
Demu......sijambo mama nimemkuta cox dawa yao
Mama cox.....ndo nan huyo mbna mm simjui alikuambia anakaa hapa?
Demu......ndiyo ni mkaka mmoja hivi mfupi ana kichwa kikubwa anapenda sana kuvaa tishet ya voda
Mama cox.....ahaaa huyo ni mwanangu anaitwa CHOGO NDIZI sio COX DAWA YAO hilo jina kakudanganya una shida naye??
Demu....duuu ndiyo nimempitia twende chuo
Mama cox.....uwww chuo gani tena kashakudanganya yupo chuo muongo yule
mwanangu kashazoea kudanganya wanawake anawapa sana mimba watoto wa watu
hana lolote hasomi wala nn tumempeleka chuo cha ufundi cherehani
kakataa sasa hivi anatengeneza baiskeli mbele hapo
Demu ....daaa kweli mama
Mama cox....twende nkupeleke anapotengenezea baiskeli
Daaa mama kamleta hadi kilingeni demu kanikuta naziba pancha nimetupa
tairi nimetoka nduki sina hamu aisee nimelia sana mama kaniharibia demu
kanitukana sana kwenye simu daaa
No comments:
Post a Comment