Friday, March 29, 2013

DOGO NOUMAA

Mtoto mmoja wa miaka sita alikuwa akilala kitanda kimoja na wazazi wake..

Siku moja akaamka usiku akapata babake yuko juu ya mama yake...mama amekunjwa miguu ikielekea kichwani.

Mtoto kuona vile akaanza kugonga godoro, 1.... 2.... 3..... Alafu akachukua mkono wa baba yake akauinua juu na kusema: "Daddie umeshinda match ila kesho mvae chupi kama wanamieleka wengine!!"

No comments:

Post a Comment