Binti mmoja aliyetoreoka kijjni kwao arejea baada ya miaka 10:
BABA: We mtoto ulipotelea wapi, unajua ulimtesa sana mama yako?
BINTI: Nilikuwa nafanya kaz ya umalaya marekani baba..
BABA: Tobaaa! Balaa gani hii...mshenzi mkubwa wee, umetutia aibu wazazi wako, toka na usikanyage tena hapa!
BINTI: Sawa baba ila kabla sijaondoka, nimewanunulia nyumba ya kisasa mjini, nikawaekea millioni 75 benk, na ile gari nlilokuja nalo ni la kwako..
BABA: Hivi ulisema unafanya kaz gani tena?
BINTI: UMALAYA
BABA: Aahaa, mi nlisikia UYAYA. Karibu ndani mwanangu tulikumiss sana
No comments:
Post a Comment