Friday, March 29, 2013

MAMBO 10 YANAYOPELEKEA NDOA KUVUNJIKA


1-kujifanya wajuaji wa kila kitu kwa wenza wetu

2-kujali marafiki kuliko mwenza wako wa ndani

3-kutaka matumizi makubwa kuliko uwezo,

4-uongo kwenye ndoa,,

5-kujiona uko sawa na mwenzi wako kisa tuu mnalala kitanda kimoja,,

6-kusahau wajibu wa mmoja wapo ktk ndoa,,

7-kuoana kwa sababu fulani,,,mf::pesa, umaarufu, kufuliwa na kupikiwa, mimba zisizotarajiwa

8-maneno ya watu kuyabeba bila uchunguzi,,

9-simu, fb, twitter, whatsapp n.k,,,,

10-tamaa ya macho,,,,,

No comments:

Post a Comment