Mama mmoja alikuwa anataka kumnyonyesha mwanae.....mtoto akakataa kunyonya
Mama akamwambia mwanae "NYONYA KAMA HUTAKI MI NAMPA ANKO(jamaa pembeni)"
Mtoto kuskia hivyo akanyonya kidogo alafu akaacha
mama akamtisha tena mtoto
"NITAMPA ANKO ANYONYE"
Jamaa kwa hasira "MAMA UWE NA MSIMAMO UNAJUA
NIMEPITILIZIA VITUO VINNE KWA AJILI YAKO HEBU KUWA MKWELI UNANIPA
NINYONYE AU NISHUKE?"
Abiria + kondakta + dereva = vicheko wanavunjika mbavu
No comments:
Post a Comment