wife na husband walikosana. wife akapack nguo zake kwenye bag.
Conversation yake na husband ikakuwa:
Husband: unakwenda wapi??
Wife: nakwenda kwa mamangu.
husband kuckia vile na yy akaanza kupack nguo zake kwa bag.
Wife :(kwa mshangao) na ww unaenda wapi??
Husband: kwa mama yangu pia.
Wife: na watoto wako utamuachia nani??
Husband: na wao pia wataenda kwa mama yao.
Wife kuckia ivo akarudisha nguo kwa kabati akaenda kudoz
No comments:
Post a Comment