Mtoto m1 wa miaka 16 alienda bar akaagiza
Castle lite akawa anagida pale burdan, baada ya kugida kama bia 6 hivi
weita akamdai pesa, hapo ndo utata ukaanza kwani dogo alimwita weita
akamwambia asome maandishi madogo yaliyoandikwa pale kwa chupa.
Yaliandkwa HAIUZWI KWA WA2 CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. Dogo akamwambia
Muhudumu "cc ha2uziwi, 2nakunywa bure."......!
No comments:
Post a Comment