Leo nataka niongee na wanandoa, yes wewe mume
haswaa! Hebu fanya tathmini ya ufanyaji wako wa tendo
la ndoa na
mkeo, unaonaje, ni wa kukariri na kujirudia rudia au ni
wa kubadilika kila siku! Kaa ukielewa kuwa
wanawake wanapenda mwanaume ambaye"
Hatabiriki"
Mzee mwenzangu usiwe ume kariri jinsi ya kucheza
mechi yako kiasi kwamba wife anajua kwamba,
ukishakaa mkao huu kinachofuata ni hivi kisha vile
then mchezo unaisha!!
Jaribu kuwa mbunifu na kubadilika badilika, ikibidi siku moja " Unapiga Sarakasi" kimtindo kitandani kunogesha ladha ya Mchezo!!!
Jaribu kuwa mbunifu na kubadilika badilika, ikibidi siku moja " Unapiga Sarakasi" kimtindo kitandani kunogesha ladha ya Mchezo!!!
No comments:
Post a Comment