Thursday, May 2, 2013
UROHO M-BAYA..
Mwizi alibomoa nyumba akaingia kwenye stoo akaona vinyama
kwenye kibakuli vilivyokauka,akaonja kimoja akaona ni kitamu kina chumvi
chumvi! Akafurahi akakaa chini akala vyote alipomaliza akaangalia juu
ya mlango akaona pameandikwa CHUMBA CHA KUTAHIRIA!! eti unahisi alikula
nini?
MTALII NDANI YA BONGO
Mtalii
ndani ya Bongo kaona nazi, akawa hajui nini. Akawauliza wenyeji,
wakamjibu "Hilo yai la tembo!". Akataka kujua linatotoa vipi.
Wakamwambia unalikalia halafu unasugua kwa matako mpaka anatoka tembo.
Akarudi nchini kwao, akawambia wanae waanze kusugua. Sugua, sugua wapi!
Hamna tembo. Akamwabia mkewe, sugua, sugua wapi! Akaona aingia yeye mzee
wa kazi! Akawa kwa nguvu nyingi kichizi! SUGUA, SUGUA, SUGUA, mara
ghafla watoto wanaanza kushangilia
"Mkonge, mkonge, mkonge..".. Mzee akazidisha nguvu, mara watoto tena
"Mashkio, Maskiooo, Mashkiooo"..
Mzee akaona bora amchungulie huyo tembo, kucheki vizuri kumbe ilikuwa suruali yake imechanika!!
"Mkonge, mkonge, mkonge..".. Mzee akazidisha nguvu, mara watoto tena
"Mashkio, Maskiooo, Mashkiooo"..
Mzee akaona bora amchungulie huyo tembo, kucheki vizuri kumbe ilikuwa suruali yake imechanika!!
JAMAA KAINGIA BAR KWA FUJO
JAMAA:lete bia hapa,na kila mmoja humu ndani mpe bia yake,maana nikinywa bia nataka kila mtu anywe bia..
WATU:Haaa..wakapewa bia
JAMAA:Lete mchemsho hapa,na kila mmoja mpe mchemsho wake,mana nikila mchemsho na kila mtu ale mchemsho
WATU:eeee..makofi kwa jamaa..muhudumu akawapa
JAMAA:leta bili hapa na kila mtu mpe bili yake mana ninapolipa bili nataka nione kila mtu analipa bili yake..
WATU: Vilio na mayowe!!
WATU:Haaa..wakapewa bia
JAMAA:Lete mchemsho hapa,na kila mmoja mpe mchemsho wake,mana nikila mchemsho na kila mtu ale mchemsho
WATU:eeee..makofi kwa jamaa..muhudumu akawapa
JAMAA:leta bili hapa na kila mtu mpe bili yake mana ninapolipa bili nataka nione kila mtu analipa bili yake..
WATU: Vilio na mayowe!!
MLEVI NOMAA
Mlevi mmoja alikuwa anapita katika Mkutano wa Injili akasikia Mhubiri wa neno akisema "Msitende dhambi msije mkaenda motoni"
Mlevi akajibu "Nanyinyi huko Peponi mkipewa Mahindi Mabichi msije kuomba moto!"
Mlevi akajibu "Nanyinyi huko Peponi mkipewa Mahindi Mabichi msije kuomba moto!"
CHEZEA MADENGE WEWE!
MADENGE alimuuliza MWL; Hivi ukichanganya OMO na FOMA zitatoa POVU!?
MWL akajibu kwa HASIRA 'swali gani la KIPUUZI hilo, zitatoa ndio kwa
SABABU zote ni SABUNI,!? MADENGE akasema: WEWE ndiyo MPUUZI na MAJIBU
yako ni ya KIPUUZI!, bwege WEWE Zitatoaje POVU wakati HATUJAWEKA
maji.?DAH! Mwalm hoi.!
MAJINA YA VIMADA
JINSI WANAUME WANAVYO SAVE MAJINA YA VIMADA/MPANGO KANDO KWENYE SIMU ZAO ILIKUKWEPA KUGUNDULIKA NA WAPENZI WAO
1. Mwenye Nyumba
2. Fundi wa viatu
3. Battery low
4. customer care
5. Sister
6. Binamu
7. Josef wa maziwa
8. Boss
9. Daktari wa Meno
10. missed call
11. Mama mdogo
1. Mwenye Nyumba
2. Fundi wa viatu
3. Battery low
4. customer care
5. Sister
6. Binamu
7. Josef wa maziwa
8. Boss
9. Daktari wa Meno
10. missed call
11. Mama mdogo
MADENGE
Madenge
ali2mwa sokoni na mama yake kununua njegere akiwa njiani anarudi na
njegere moja ikadondoka ikabimbilika akasema anhaa kumbe mnajua
kutembea! Akamwaga zote chini , mtanikuta nyumbani alipofika nyumbani
mama yake akamuliza madenge njegere ziko wapi ? Madenge ziko njiani
zinakuja !
Subscribe to:
Posts (Atom)