Friday, May 3, 2013

BARUA YA CHIZI

Jamaa kamkuta chizi anaandika barua .........
JAMAAA; Vp unaituma kwa nani hiyo barua?
CHIZI; Najitumia mwenyewe.
JAMAA; Kwahiyo barua inaujumbe gani?
CHIZI; He! we chizi nn, mimi nitajuajee wakati haijanifikia?

No comments:

Post a Comment