FAMILA YA KICHAGA
Mtoto alikwenda kwa mama yake kupeleka malalamiko kwa kile alichotendewa na baba yake na mazungumzo yalikuwa hivi;
Mtoto; Jana nilikwenda kumuomba baba hela ya kusuka akaninyoa nywele {kipara},
Mama; Unabahati sana lau kama ungeomba hela ya whitedent angelikung'oa
meno. Lau kama mtoto angelimuomba hela ya wembe wa kukatia kucha
unadhani ingelitokea nini?
No comments:
Post a Comment