Friday, May 3, 2013

ZIMA MZIKI

Jamaa alipanda tax akamwambia dereva, zima mziki dini hairuhusu kuckliza nyimbo za kidunia kwa sababu wakati wa Yesu hapakuwa na redio, dereva akatii akazma halaf akasimamisha gari na kufungua mlango wa abiria. Jamaa akamuuliza Nini tena? Dereva akajbu 'wakati wa Yesu hakukuwa na tax shuka usubiri punda!

No comments:

Post a Comment