ZIMA MZIKI
Jamaa
alipanda tax akamwambia dereva, zima mziki dini hairuhusu kuckliza
nyimbo za kidunia kwa sababu wakati wa Yesu hapakuwa na redio, dereva
akatii akazma halaf akasimamisha gari na kufungua mlango wa abiria.
Jamaa akamuuliza Nini tena? Dereva akajbu 'wakati wa Yesu hakukuwa na
tax shuka usubiri punda!
No comments:
Post a Comment