1 Amepunguza mawasiliano. Hi ndiyo njia pekee ya kuweka uhusiano wenu
karibu kana alivyokuwa akifanya mwanzo wa mapenzi yenu lakini sasa
amepunguza na aishi sababu za kuwa yupo BUSY
2 Anakukwepa kila
unapotaka kuonana naye. Hawezi kuonana na wewe kwa sababu utu wa ndani
humsutu na hana mapenzi na wewe tena. Hivyo atajarinu kila njia za
kukukwepa, kama kusingizia ameyumwa au hana muda
3 ubinafsi. Kama mwanzo mlikuwa mkishare mambo yenu ikiwa simu na siri
za maisha yeye ataanza kuweka pasword na pasword ya facebook
atabadilisha.
4 hawezi kukuambia hakutaki ila atakuwa hajali uwepo wako hata ukiwepo naye.
5 ayes contact hawezi kuwa na ujasiri wa kuangalia machoni tena kwa sababu ameanza kukusaliti
6 ataanza mashindano ya kuacha kufanya vitu ambavyo vilikuwa ni jukumu
lake kukufantia ila sasa atakutegea wewe umfanyiue ukimuuliza kwanini
amebadilika atakujibu kwa nini wewe hunifanyii haya.
No comments:
Post a Comment