Thursday, May 2, 2013

HIZI NI TABIA ZA MSICHANA AMBAYE AMEANZA KUKUSALITI

1 Amepunguza mawasiliano. Hi ndiyo njia pekee ya kuweka uhusiano wenu karibu kana alivyokuwa akifanya mwanzo wa mapenzi yenu lakini sasa amepunguza na aishi sababu za kuwa yupo BUSY

2 Anakukwepa kila unapotaka kuonana naye. Hawezi kuonana na wewe kwa sababu utu wa ndani humsutu na hana mapenzi na wewe tena. Hivyo atajarinu kila njia za kukukwepa, kama kusingizia ameyumwa au hana muda

3 ubinafsi. Kama mwanzo mlikuwa mkishare mambo yenu ikiwa simu na siri za maisha yeye ataanza kuweka pasword na pasword ya facebook atabadilisha.

4 hawezi kukuambia hakutaki ila atakuwa hajali uwepo wako hata ukiwepo naye.

5 ayes contact hawezi kuwa na ujasiri wa kuangalia machoni tena kwa sababu ameanza kukusaliti

6 ataanza mashindano ya kuacha kufanya vitu ambavyo vilikuwa ni jukumu lake kukufantia ila sasa atakutegea wewe umfanyiue ukimuuliza kwanini amebadilika atakujibu kwa nini wewe hunifanyii haya.

No comments:

Post a Comment