Friday, May 3, 2013

NDANI YA DALADALA''

DEMU;samahani kaka naomba unipakate,
JAMAA; usijali njoo tu nikupakate,
DEMU; haya,
JAMAA; wewe unaonekana ni secretary?
DEMU;ndio, kwani vipi?
JAMAA; vidole vyako laini kweli!
DEMU; asante, nawewe ni fundi magari?
JAMAA; ndio, umejuaje?
DEMU; naona hapa nilipo kaa nainuliwa na kitu kama jeki!
JAMAA; hapana nadhani itakuwa mabonde tu.

No comments:

Post a Comment