Friday, May 3, 2013

KWA KUPENDA SIFA.

Wahaya kwa kupenda sifa! leo katika matangazo ya vifo , ndugu Deus Rweyemamu wa masaki anasikitika kutangaza kifo cha mwanawe Joseph Rweyemamu wa Oysterbay, kilichotokea jana Australia baada ya kupaliwa na baga akiwa anaendesha hummer yake mpya. Msiba utafanyika kwa anti yake marekani, taarifa zimfikie Ronaldo Rweyemamu wa Portugal, Koku Kardashian Rweyemamu wa U.S.A, Torres Rweyemamu wa Spain, Walcot Rweyemama wa England, na house girl wao alioko Dubay katika shoping ya mwezi, akamalizia tutawasiliana baadayeeee.

No comments:

Post a Comment