KWA KUPENDA SIFA.
Wahaya
kwa kupenda sifa! leo katika matangazo ya vifo , ndugu Deus Rweyemamu
wa masaki anasikitika kutangaza kifo cha mwanawe Joseph Rweyemamu wa
Oysterbay, kilichotokea jana Australia baada ya kupaliwa na baga akiwa
anaendesha hummer yake mpya. Msiba utafanyika kwa anti yake marekani,
taarifa zimfikie Ronaldo Rweyemamu wa Portugal, Koku Kardashian
Rweyemamu wa U.S.A, Torres Rweyemamu wa Spain, Walcot Rweyemama wa
England, na house girl wao alioko Dubay katika shoping ya mwezi,
akamalizia tutawasiliana baadayeeee.
No comments:
Post a Comment