TANGAZO, Mtu mwenye watoto 10 atazawadiwa mil 50;
Jamaa baada ya kusikia tangazo
akamwambia mke wake, sisi tuna watoto 9, ila nikwambie mke wangu mimi
nina mtoto 1 nje ya ndoa, naomba tumchukue na huyo wawe 10 tupate hizo
ml 50. Mkewe akamwambia poa. Jamaa akaenda kumfata huyo mtoto. Aliporudi
hakuwaona wale 9. Akamuuliza mkewe, Watoto wako wapi? Mkewe akajibu,
baba zao walipoona tangazo nao wamekuja kuchukua watoto wao, Jamaa
akazimia.....!!
No comments:
Post a Comment