Friday, May 3, 2013

TANGAZO, Mtu mwenye watoto 10 atazawadiwa mil 50;

 Jamaa baada ya kusikia tangazo akamwambia mke wake, sisi tuna watoto 9, ila nikwambie mke wangu mimi nina mtoto 1 nje ya ndoa, naomba tumchukue na huyo wawe 10 tupate hizo ml 50. Mkewe akamwambia poa. Jamaa akaenda kumfata huyo mtoto. Aliporudi hakuwaona wale 9. Akamuuliza mkewe, Watoto wako wapi? Mkewe akajibu, baba zao walipoona tangazo nao wamekuja kuchukua watoto wao, Jamaa akazimia.....!!

No comments:

Post a Comment