Friday, May 3, 2013

USINGIZI MTAMUU

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe.Mara akamuona mtu amesimama kitandani.
Jamaa akafoka,"Toka hapa,we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?                                      " Yule mtu akajibu,"Mi ni malaika;mtakati fu petro,na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"
Jamaa,"Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana...naomba nirudishwe!"
Malaika,"Inawez ekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."
Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda,akaonel ea arudi kama kuku.
Malaika akamgeuza kuku,akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.
Akachuchumaa na kuanza kujikamua;yai la kwanza likatoka.akajik amua tena,yai la pili likatoka. Akajik amua tena mara ya tatu.
Wakati yai la tatu linatoka...akas htukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbavu! Balaa gani hii....unakunya kitandani!

No comments:

Post a Comment