Friday, May 3, 2013

MCHAGA MSAFIRI

Mchaga 1 alikuwa anasafiri kwenda nje ya nchi, akaita tax impeleke airport akauliza: shngapi kwenda airport, dreva: elfu 30 tu, mchaga: jumla na mzigo itakuwa shngap, dreva: mizgo ni bure, mchaga: basi beba mizgo yangu utangulie nayo mi napanda daladala.!

No comments:

Post a Comment