mtoto;baba nitumie hela ya matumizi huku shuleni hali mbaya la sivyo nitajinyonga
baba; huku nyumbani hali mbaya zaidi kama unajinyonga sawa tu kwasababu
utapunguza bajeti. kopa kamba nitakuja kulipa nitakapokuja kuchukua
mwili wako. Mungu akulaze mahali pema peponi mwanangu.
No comments:
Post a Comment