BALAA LA WATOTO WA CHEKECHEA
Hebu
niambie ingekua wewe ni mwalimu wa chekechea halafu vitoto viwili vya
chekechea, cha kike na cha kiume vikaja kukuuliza, eti mwalimu, watoto
kama sisi tunaweza kupata ujauzito? ''Ukajibu haiwezekani''. Kakiume
kikamgeukia mwenzake kakamwambia si nilikuambia usiwe na wasiwasi!!!!!
Ungefanyaje?
No comments:
Post a Comment