Friday, May 3, 2013

BALAA LA WATOTO WA CHEKECHEA

Hebu niambie ingekua wewe ni mwalimu wa chekechea halafu vitoto viwili vya chekechea, cha kike na cha kiume vikaja kukuuliza, eti mwalimu, watoto kama sisi tunaweza kupata ujauzito? ''Ukajibu haiwezekani''. Kakiume kikamgeukia mwenzake kakamwambia si nilikuambia usiwe na wasiwasi!!!!! Ungefanyaje?

No comments:

Post a Comment