Thursday, May 2, 2013

JAMAA KAINGIA BAR KWA FUJO

JAMAA:lete bia hapa,na kila mmoja humu ndani mpe bia yake,maana nikinywa bia nataka kila mtu anywe bia..
WATU:Haaa..wakapewa bia
JAMAA:Lete mchemsho hapa,na kila mmoja mpe mchemsho wake,mana nikila mchemsho na kila mtu ale mchemsho
WATU:eeee..makofi kwa jamaa..muhudumu akawapa
JAMAA:leta bili hapa na kila mtu mpe bili yake mana ninapolipa bili nataka nione kila mtu analipa bili yake..
WATU: Vilio na mayowe!!

No comments:

Post a Comment