Thursday, May 2, 2013

MUME NA MKE

Mume: Hello baby!
Mke: Hello sweety!
Mume: Nitachelewa kurud leo
Mke: Nishajua uko kwa vijanamke
vyako, ww ni malaya sana cjui ilikuaje ukanioa nakuchukia kama nn? ckupend! ckupend!
Mume: Niko BENKI hapa
Mke: Haa! Ulijuaje kama cna hela,
nitolee laki 1 baby, nakupenda sana
kuliko roho yangu, nakutengea maji
yakuoga sweety. Ucsahau hizo pesa ninunulie na chips kuku mmwaaaa!
Mume: Ni BENKI YA KUCHANGIA DAMU
Mke: Nyoooo waambie wakutoe yote.

No comments:

Post a Comment