JAMAA ALIDONDOKA BANK
Jamaa
mmoja alidondoka benk, na haikujulikana ni ni kitu gani kilichomsibu.
Watu wakaanza kusema , ''mmwagie maji, mpeni maji, mpeni maji mengi''.
Jamaa baada ya kuckia hivyo akaamka akasema ''nyie vp, kama
ningelilitaka maji si ningelilianguka idara ya maji, kwani cpajui, hapa
nipeni hela tu nyingi, ndo mana nimeangukia hapa benki'' watu mbavu hoi.
No comments:
Post a Comment