Friday, May 3, 2013

YUPI ANAJUA KUUCHUNA KATI YA HAWA?

Juha:Nilimpigia cm mke wangu akapokea hakusema (hallow)nikauchuna sikuongea mpaka pesa zote zikaisha!
Zoba:iligonga mlango mke wangu hakufungua,hakuniambia karibu nikasimama palepale mpaka kesho yake nikageuza nikaondoka.
Zuzu:Tangu nimuoe mke wangu hajaniita mpenz,nimegoma kulala nae hadi leo miaka 6.Wote wakamwambia we muongo,mbona una watoto wawili?Zuzu akajibu:Mpaka leo sijamuuliza watoto ni wa nani?NIMEUCHUNA TU!!!

No comments:

Post a Comment