YUPI ANAJUA KUUCHUNA KATI YA HAWA?
Juha:Nilimpigia cm mke wangu akapokea hakusema (hallow)nikauchuna sikuongea mpaka pesa zote zikaisha!
Zoba:iligonga mlango mke wangu hakufungua,hakuniambia karibu nikasimama palepale mpaka kesho yake nikageuza nikaondoka.
Zuzu:Tangu nimuoe mke wangu hajaniita mpenz,nimegoma kulala nae hadi
leo miaka 6.Wote wakamwambia we muongo,mbona una watoto wawili?Zuzu
akajibu:Mpaka leo sijamuuliza watoto ni wa nani?NIMEUCHUNA TU!!!
No comments:
Post a Comment