Thursday, May 2, 2013

MLEVI NOMAA

Mlevi mmoja alikuwa anapita katika Mkutano wa Injili akasikia Mhubiri wa neno akisema "Msitende dhambi msije mkaenda motoni"

Mlevi akajibu "Nanyinyi huko Peponi mkipewa Mahindi Mabichi msije kuomba moto!"

No comments:

Post a Comment