Friday, May 3, 2013

TANGAZO, Mtu mwenye watoto 10 atazawadiwa mil 50;

 Jamaa baada ya kusikia tangazo akamwambia mke wake, sisi tuna watoto 9, ila nikwambie mke wangu mimi nina mtoto 1 nje ya ndoa, naomba tumchukue na huyo wawe 10 tupate hizo ml 50. Mkewe akamwambia poa. Jamaa akaenda kumfata huyo mtoto. Aliporudi hakuwaona wale 9. Akamuuliza mkewe, Watoto wako wapi? Mkewe akajibu, baba zao walipoona tangazo nao wamekuja kuchukua watoto wao, Jamaa akazimia.....!!

USINGIZI MTAMUU

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe.Mara akamuona mtu amesimama kitandani.
Jamaa akafoka,"Toka hapa,we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?                                      " Yule mtu akajibu,"Mi ni malaika;mtakati fu petro,na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"
Jamaa,"Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana...naomba nirudishwe!"
Malaika,"Inawez ekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."
Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda,akaonel ea arudi kama kuku.
Malaika akamgeuza kuku,akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.
Akachuchumaa na kuanza kujikamua;yai la kwanza likatoka.akajik amua tena,yai la pili likatoka. Akajik amua tena mara ya tatu.
Wakati yai la tatu linatoka...akas htukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbavu! Balaa gani hii....unakunya kitandani!

HAHAHAHA KAMA NI WEWE UNGEFANYA NINI?

Jamaa mmoja alipata mchumba akaona ni vyema amtambulishe kwa baba yake, mzee alipomuona tu akasema, "oho huyu ni dada yako ni mtoto wangu huyu nilizaa kipindi niko shule", jamaa akatafuta mchumba mwingine akafanya vile vile lakini mzee akasema "oho ulimufahamu vipi huyu ni dada yako pia" jamaa akaona isiwe shida akatafuta kimwana mwingine, digi alipopelekewa na huyo akasema "aha sasa ww mtoto kwanini unakuwa unakutana na dada zako tu, huyu naye ni dada yako tafuta mwingine ila usimwambie mama yako maana hajui kama nina watoto hawa", 
jamaa akawa na hasira sana akaenda kumpatia story yote mama yake, mama akamwambia "aha hata usijali hao sio dada zako hata kwa damu maana hata wewe huyu sio baba yako ila usimwambie maana hajui ni siri yangu ya muda mrefu, wewe fanya kuchangua unayempenda kati ya hao uoe.

UROHO M-BAYA..

Mwizi alibomoa nyumba akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye kibakuli vilivyokauka,akaonja kimoja akaona ni kitamu kina chumvi chumvi! Akafurahi akakaa chini akala vyote alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa CHUMBA CHA KUTAHIRIA!! eti unahisi alikula nini?

KWA KUPENDA SIFA.

Wahaya kwa kupenda sifa! leo katika matangazo ya vifo , ndugu Deus Rweyemamu wa masaki anasikitika kutangaza kifo cha mwanawe Joseph Rweyemamu wa Oysterbay, kilichotokea jana Australia baada ya kupaliwa na baga akiwa anaendesha hummer yake mpya. Msiba utafanyika kwa anti yake marekani, taarifa zimfikie Ronaldo Rweyemamu wa Portugal, Koku Kardashian Rweyemamu wa U.S.A, Torres Rweyemamu wa Spain, Walcot Rweyemama wa England, na house girl wao alioko Dubay katika shoping ya mwezi, akamalizia tutawasiliana baadayeeee.

ZIMA MZIKI

Jamaa alipanda tax akamwambia dereva, zima mziki dini hairuhusu kuckliza nyimbo za kidunia kwa sababu wakati wa Yesu hapakuwa na redio, dereva akatii akazma halaf akasimamisha gari na kufungua mlango wa abiria. Jamaa akamuuliza Nini tena? Dereva akajbu 'wakati wa Yesu hakukuwa na tax shuka usubiri punda!

MLEVI DUH!

Kuna MLEVI mmoja alikwenda kanisani ili ABATIZWE kwani alidai kuwa sasa pombe kaiacha.

Basi MCHUNGAJI akamzamisha ndani ya maji mengi na alipoibuka Mchungaji akasema,
"Nimekubatiza kwa jina la Baba na la Mwana na Roho mtakatifu,
Ulikuwa unaitwa NGONYANI sasa umekuwa JOSEPH.

MLEVI aliporudi nyumbani akaichukua CHUPA YA BIA na kuizamisha ndani ya MAJI yaliyokuwa yamejaa kwenye Ndoo, na ilipo ibuka akaiambia,

"Wewe CHUPA ulikuwa ukiitwa SAFARI LAGER na sasa Umekuwa FANTA ORANGE

KISHA AKAINYWA NA KUSEMA AMEN.

SOKWE MTU

Iltokea mitaa ya kati,Mwanaume mmoja alienda kuomba kazi kwenye ZOO,akaambiwa nafasiya kazi ipo lakin hakuna sokwe;hivyo utajifanya sokwe na tutakupa ngozi utavaa.Jamaa siku ya kwanza akavaa walipokuja watalii mambo yalienda vizuri.Siku iliyofuata banda lake liliwekwa juu,jamaa katika kuongeza mbwembwe kwenye kazi yake akawa anarukaruka,kwa bahati mbaya si akaanguka ndani ya banda la simba akawa anapiga kelele;mamaa nakufaaaaaa;Mara yule simba akamwambia "Acha kelele mimi mwenyewe kama wewe,rudi kwenye banda lako haraka kabla watalii hawajaja!!!!!!!!

MLEVI NA MKEWE

Mlevi alimuamsha mkewe usiku amsindikize chooni ili akajisaidie,
Mke akakataa akaondoka mwenyewe,
Aliporejea akaanza kumuhadithia mkewe maajabu aliyoyaona chooni, mkewangu choo chetu kinamaajabu siku hizi,
mke akauliza maajabu gani?
akajibu nilipofungua mlango wa chooni taa imewaka yenyewe kisha kakanipuliza kaubaridi nikajisikia rahaaa na nilipoufunga taa ikazima na kaubaridi kakaisha, mke akasema ''nyoooo mshenzi mkubwa wewe, umeshajisaidia ndani ya friji.

YUPI ANAJUA KUUCHUNA KATI YA HAWA?

Juha:Nilimpigia cm mke wangu akapokea hakusema (hallow)nikauchuna sikuongea mpaka pesa zote zikaisha!
Zoba:iligonga mlango mke wangu hakufungua,hakuniambia karibu nikasimama palepale mpaka kesho yake nikageuza nikaondoka.
Zuzu:Tangu nimuoe mke wangu hajaniita mpenz,nimegoma kulala nae hadi leo miaka 6.Wote wakamwambia we muongo,mbona una watoto wawili?Zuzu akajibu:Mpaka leo sijamuuliza watoto ni wa nani?NIMEUCHUNA TU!!!

FAMILA YA KICHAGA

Mtoto alikwenda kwa mama yake kupeleka malalamiko kwa kile alichotendewa na baba yake na mazungumzo yalikuwa hivi;
Mtoto; Jana nilikwenda kumuomba baba hela ya kusuka akaninyoa nywele {kipara},
Mama; Unabahati sana lau kama ungeomba hela ya whitedent angelikung'oa meno. Lau kama mtoto angelimuomba hela ya wembe wa kukatia kucha unadhani ingelitokea nini?

BALAA LA WATOTO WA CHEKECHEA

Hebu niambie ingekua wewe ni mwalimu wa chekechea halafu vitoto viwili vya chekechea, cha kike na cha kiume vikaja kukuuliza, eti mwalimu, watoto kama sisi tunaweza kupata ujauzito? ''Ukajibu haiwezekani''. Kakiume kikamgeukia mwenzake kakamwambia si nilikuambia usiwe na wasiwasi!!!!! Ungefanyaje?

BARUA YA CHIZI

Jamaa kamkuta chizi anaandika barua .........
JAMAAA; Vp unaituma kwa nani hiyo barua?
CHIZI; Najitumia mwenyewe.
JAMAA; Kwahiyo barua inaujumbe gani?
CHIZI; He! we chizi nn, mimi nitajuajee wakati haijanifikia?

MWALIMU ALIKUTANA NA CHANGAMOTO KAMA SIO CHANGA LA MOTO!

MWALIMU; which crops do we export to euro?
MWANAFUNZI; coffee,
MWALIMU; good, how many types of coffee do we have?
MWANAFUNZI; two types,
MWLIMU; excellent boy! and what are they?
MWANAFUNZI; Coffee Anan and Coffee Olomide,
MWALIMU; safi safi sanaaa, nakuacha cha hivyo hivyo mpaka serikali iniongeze mshahara,!!!!!!!

KIFAA CHA KUKAMATA WEZI

Wamarekani walitengeneza matchine maalum kwa ajili ya kukamatia WIZI, kutokana na mafanikio iliyoyapata kule Amerika wakaamua kuipeleka Urusi, Ndani ya siku 1 ikaonesha wizi 120, wakapeleka na Ghana ndani ya masaa 3 ikabaini wizi 1000,, iliopelekwa China kwa masaa 6 ilifanikisha kukamtwa wizi 2500, Sasa kivumbi iliyoletwa Tanzania, ndani ya robo saa tu Matchine ikaibiwa yenyewe.

JAMAA ALIDONDOKA BANK

Jamaa mmoja alidondoka benk, na haikujulikana ni ni kitu gani kilichomsibu. Watu wakaanza kusema , ''mmwagie maji, mpeni maji, mpeni maji mengi''. Jamaa baada ya kuckia hivyo akaamka akasema ''nyie vp, kama ningelilitaka maji si ningelilianguka idara ya maji, kwani cpajui, hapa nipeni hela tu nyingi, ndo mana nimeangukia hapa benki'' watu mbavu hoi.

MWALIMU ALIKUTANA NA CHANGAMOTO KAMA SIO CHANGA LA MOTO!

MWALIMU; which crops do we export to euro?
MWANAFUNZI; coffee,
MWALIMU; good, how many types of coffee do we have?
MWANAFUNZI; two types,
MWLIMU; excellent boy! and what are they?
MWANAFUNZI; Coffee Anan and Coffee Olomide,
MWALIMU; safi safi sanaaa, nakuacha cha hivyo hivyo mpaka serikali iniongeze mshahara,!!!!!!!

NDANI YA DALADALA''

DEMU;samahani kaka naomba unipakate,
JAMAA; usijali njoo tu nikupakate,
DEMU; haya,
JAMAA; wewe unaonekana ni secretary?
DEMU;ndio, kwani vipi?
JAMAA; vidole vyako laini kweli!
DEMU; asante, nawewe ni fundi magari?
JAMAA; ndio, umejuaje?
DEMU; naona hapa nilipo kaa nainuliwa na kitu kama jeki!
JAMAA; hapana nadhani itakuwa mabonde tu.

MTOTO NA PESA

MTOTO ALIMUULIZA BABA YAKE,
ETI BABA UKIKUTA NOTI YA SHILINGI ELFU KUMI{10,000} NA ELFU TANO {5,000} UTAOKOTA IPI?
BABA; WEMJINGA KWELI NITAOKOTA YA ELFU KUMI {10,000}
MTOTO; WEWE NDIO MJINGA BABA MIMI NITAOKOTA ZOTE.

MCHAGA MSAFIRI

Mchaga 1 alikuwa anasafiri kwenda nje ya nchi, akaita tax impeleke airport akauliza: shngapi kwenda airport, dreva: elfu 30 tu, mchaga: jumla na mzigo itakuwa shngap, dreva: mizgo ni bure, mchaga: basi beba mizgo yangu utangulie nayo mi napanda daladala.!