Friday, July 27, 2012

do what is best first then follow another (opportunity cost)

Waswahili wanasema "mtaka yote hukosa yote" hasa ukizingatia kuwa na pupa na kupata mambo unayoyapenda mazuri ambayo yatakufurahisha moyo na nafsi yako. Anaepata moja zuri ni tofauti na anaekosa yote HIVYO basi usiharakie maisha, jipange na shughulikia moja basi na jengine litafuata kitaratibu..Dunia ipo kwa ajili yako haina haja ya kukimbizana nayo kwani pole pole ndio mwendo, usije ukaruka hatua (step) ukaharibu kila kitu baadae

No comments:

Post a Comment