kuna wakati unapokutana na marafiki, ndugu au jamaa ni vema ukatambua thamani yao na sio kuwachukulia wote katika nafasi na viwango sawa kwa sababu unaweza ukampoteza mtu ambaye ni mzuri na muhimu sana kwako, hasa pale unapozingatia umemuongopea kwa kumdanganya na hata kukaribia kumdhulumu kwa kumpotezea muda na uaminifu juu yako..cheating on a good person is like
throwing away a diamond and
picking up a rock..jitahidi kuishi vizuri na rafiki, ndugu, jamaa au jirani yako kwa wema
No comments:
Post a Comment