kwa nini tunafumba macho wakati tuna sali, tunalia, tunachum na kuwaza/kuota ndoto zetu
hii yote ni kwa sababu mambo mazuri yote katika maisha hayaonekani ila tunayafeel ndani ya mtima wa moyo..usikate tamaa na ndoto zako bali amini kuna siku zitatimia na furaha ya muda mrefu ambayo ulikuwa unaisubiri inawadia
No comments:
Post a Comment