Tuesday, July 24, 2012

kwa nini tunafumba macho wakati tuna sali, tunalia, tunachum na kuwaza/kuota ndoto zetu

hii yote ni kwa sababu mambo mazuri yote katika maisha hayaonekani ila tunayafeel ndani ya mtima wa moyo..usikate tamaa na ndoto zako bali amini kuna siku zitatimia na furaha ya muda mrefu ambayo ulikuwa unaisubiri inawadia

No comments:

Post a Comment