Tuesday, July 24, 2012

Sometimes the best thing to say is nothing

Anaekaa kimya siku zote ni mshindi, ikitokea kuna pande 2 moja ipo juu ya mwenzake kwa nyenzo na mabavu njia rahisi ya huyu wa pili(mnyonge) ni kukaa kimya ni sawa na kusema "mafahari wawili hawakai zizi moja"..ikifikia wakati unaonewa na kudhulumiwa na hata kusemwa na kushirikishwa kwa ubaya katika mambo ambayo hauhusiki na ukawa umechukua hatua za kutosha ilikudhihirisha (prove your innocence) huna hatia basi vumilia na ukae kimya kwani ni moja ya njia ya kufikisha ujumbe wako.

No comments:

Post a Comment