Monday, July 23, 2012

be not afraid of growing slowly, be afraid of only of standing still

pole pole ndio mwendo, ridhika na unachokipata japo kidogo..hatua uliopo sasa hivi ni tofauti na miaka mitatu iliopita hivyo basi amini kwamba miaka mitatu ijayo utakua umepiga hatua mbele.Binadamu ni tofauti na jiwe ambalo lipo vilevile (stagnant) bali binadamu anabadilika kitabia, akili na mawazo HIVYO basi usiogope kukua (kusota) taratibu katika shughuli zako bali ogopa kutofanya kabisa

No comments:

Post a Comment