Friday, February 15, 2013

enjoy a little thing

hata kile kidogo ulichokuwa nacho ni vema ukaridhika nacho nacho na kukifurahia kwa sababu wapo ambao wanahitaji kama chako na hawakipati. Fahamu kwako ni kidogo kwa wengine ni kikubwa na kile unachokiona kwa mtu ni kikubwa basi fahamu upo uwezekano mkubwa sana na yeye kwake ni kidogo..hivyo basi thamini madogo unayoyafanya sasa kwani baadae ni mambo makubwa na yatakupatia kumbukumbu nzuri na mafunzo kadri ya muda unavyozidi kwenda..you can enjoy a little thing because one day you will realize they were a big thing, ridhika na ulichonacho hata kama ni kidogo kama sisimizi.

No comments:

Post a Comment