Friday, February 15, 2013

am ok! mengine yapo moyoni

imezoeleka katika jamii unapomuuliza hali jirani yako anakujibu SIJAMBO wakati maskini ana matatizo na mambo kibao yanayo mzunguka ambayo yanamnyima utulivu wa nafsi na akili yake, hata anapopata maudhi utamuona ni mjasiri akionekana hamna tatizo lililompata. Wakati mwingine anapokuwa na huzuni utamuona hatoi chozi kumbe moyoni analia.just because my eyes dont tear doesnt mean my heart doesnt cry..laiti ungeweza kuungalia moyo nini unahisi na wewe ungelimuonea huruma.

No comments:

Post a Comment