Kulikuwa na vichaa wawili wakisimuliana jinsi walivyoota ndoto
Kichaa wa 1: NIMEOTA NIMEENDA MAREKANI
kichaa wa 2: Sasa mwenzio nimeota nimefanya sherehe kubwa basi tukala mipilau,mikuku biriani, na
vinywaji kibao
Kichaa wa1: mh! Unatabia mbaya hata kunikaribisha mwenzio
Kichaa wa 2: SASA WE SI ULIKUWA MAREKANI NINGEKUKARIBISHAJE?
No comments:
Post a Comment