Wednesday, April 24, 2013

MWALIMU MKUU NI NOMAA

Mwalimu mkuu wa skuli ya msingi X alipewa barua kutoka wizarani,

"Tunakuamuru ufunge skuli yako kwasababu haina vyoo. Hivyo basi,mpaka utakapo chimba ndio
masomo yaendelee. Kwa ajili yaafya". Mwalimu alipoona barua akatikisa kichwa halafu akawajibu
kwa swali moja tu!: "Kwani hawa wanafunzi wamekuja KUNYA au wamekuja KUSOMA??"

No comments:

Post a Comment