1.Baby 2taongea badae,nna kazi nyng
2.Jamani honey ckuweza kupokea cm nilikua kwenye kelele.
3.Sweety cna credit,that's why cjajibu sms yako.
4.2ko discussion,ntakubep badae dear.
5.Cm haikua & chaji jamani (hapo alikuzimia cm).
6.Nipo na kaka yangu,ucpige sim.
7.Naumwa,kesho ha2wezi kuonana.
8.Room mtu wangu anamgeni,ucje leo.
9.Nipo safarin,ntakutafuta badae (kwa saut ya chini).
No comments:
Post a Comment