1-kujifanya wajuaji wa kila kitu kwa wenza wetu
2-kujali marafiki kuliko mwenza wako wa ndani
3-kutaka matumizi makubwa kuliko uwezo,
4-uongo kwenye ndoa,,
5-kujiona uko sawa na mwenzi wako kisa tuu mnalala kitanda kimoja,,
6-kusahau wajibu wa mmoja wapo ktk ndoa,,
7-kuoana kwa sababu fulani,,,mf::pesa, umaarufu, kufuliwa na kupikiwa, mimba zisizotarajiwa
8-maneno ya watu kuyabeba bila uchunguzi,,
9-simu, fb, twitter, whatsapp n.k,,,,
10-tamaa ya macho,,,,,
2-kujali marafiki kuliko mwenza wako wa ndani
3-kutaka matumizi makubwa kuliko uwezo,
4-uongo kwenye ndoa,,
5-kujiona uko sawa na mwenzi wako kisa tuu mnalala kitanda kimoja,,
6-kusahau wajibu wa mmoja wapo ktk ndoa,,
7-kuoana kwa sababu fulani,,,mf::pesa, umaarufu, kufuliwa na kupikiwa, mimba zisizotarajiwa
8-maneno ya watu kuyabeba bila uchunguzi,,
9-simu, fb, twitter, whatsapp n.k,,,,
10-tamaa ya macho,,,,,
No comments:
Post a Comment